Back to the previous page

Artist: Diamond Platnumz
Album:  I Miss You (S)
Song:   I Miss You
Typed by: AZ Lyrics

Hello, hapo vipi sijui unanisikia
Hello, na maneno natamani kukwambia
Hello, tafadhali usije nikatia
Hello ooh, ona mpaka nasahau kusalimia
Habari gani? Leo nimekukumbuka sana
Na mama yaani, twakuwazaga
Vipi nyumbani, hali ya mumeo na wana?
Na aunty Shani, wa Chimwaga
Anha Kile kidonda changu cha roho
Bado kinanitia tabu
Najitahidi kukaza roho
Ila nazidisha adhabu
Tena silali, oh
Nasubiri maajabu
Maumivu yangu hayajapata dawa

Maana I miss you (nakukumbuka iye iye) nakukumbuka baby
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I do miss you (nakukumbuka iye iye) nakukumbuka mama
I miss you (nakukumbuka iye iye)

Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (bigili bigili bayoyo)
Oh nikilala (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Nami sina raha (bigili bigili bayoyo)

Tatizo hata sijui nini kosa langu
Mpaka nikawa adui ghafla ukanichukiaga
Nawaza ila siambui ama shida zangu...
Simba nikawa chui mi roho inaniumaga
Yawezekana ahadi zangu zisizotimia
Ndio maana haukutaka kusubiria
Nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
Chai mchana usiku dona kurumaghia
Nilitamani sana ila nguvu yangu pale iliishia
Ningalikua na uwezo ningekutimizia
Ningali unafuraha haya maumivu ntayavumilia
Ila japo nambie ivi unanifikiria maana, eh eeh

Nakumkumbuka iyeh iyeh (nakumkumbuka sana, ooh)
I miss you (nakukumbuka iye iye)
Nakumkumbuka sana, ooh
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I miss you (nakukumbuka iye iye)

Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (bigili bigili bayoyo)
Oh nikilala (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Nami sina raha (bigili bigili bayoyo)
Hata nikila (bigili bigili)
Nikikuwaza (bigili bigili)
Nikiiii nana
(Bigili bigili bayoyo)
Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (bigili bigili bayoyo)

Tudd Thomas

Eeeeeh eeh roho yangu mama (bigili bigili)
Eeeeh hee hee (bigili bigili)
Eeeeh hee hee (bigili bigili bayoyo)
Oooh roho yangu mama (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Na Chibu sina raha (bigili bigili bayoyo), oh
Hata Nikila