Artist: Diamond Platnumz Album: Tandale Song: Sijaona Typed by: AZ Lyrics Ati niende kwa mganga Ntoe doti za kanga Ama nikufunge kamba Ntadanganya mie eh Nyumbani nifuge mamba Mara mlinzi kwa panga Kuchunga usije danga Uwongo nisikwambie Moyo wangu Usiufanye njia oh Ukapita Oh, nitaumia Shamba langu Wakanivunia Yote tisa Ukanibeza na kukimbia Tena unga ujengezi Usitishe na sana Ukaninyima malezi Nikakosa hata raha Nikaanza kuvunja nazi Kutwa kuchwa kafara ah Nililie kipenzi Yakukunda Karaha Sijaona Sijaona Sijaona Kama wewe Juwa mimi Sijaona (sijaona mimi) Sijaona (sijaona bado) Sijaona Kama wewe Refa kapiga kipenga Ronaldo punguza chenga Kuku tulia kwa tenga Mbwembwe tupa kule Na upunguze kujiremba Wasije wakakupenda Kuna warabu wapemba Ukanisusa bure Nisiwe napata tabu Chemsha mawe Kumaliza kuni eh Kumbe kung'aa dhahabu Kuichoma sio sabuni Nishajipaga moyo Wewe ndio mwisho wa reli Basi jifunze choyo Wasije nikejeli Uwezo wangu wa toyo mie Sijafikia meli Acha wacheze loyal Sie kwetu singeli Moyo wangu Usiufanye njia oh Ukapita Sana nitaumia Shamba langu Wakanivunia oh Kesho wakaja kukuteka Na matusi kunitupia Juwa mwenzako mimi Sijaona (bado mimi) Sijaona (mwenzio mimi) Sijaona (sijaona) Kama wewe Unajua mimi Sijaona (unajua mimi) Sijaona (sijaona mimi) Sijaona Kama wewe Hasa mose kunambi Alele (alele alee) Alele (alele alee) Alele (alele alee) Agah mkubwa fella Alele (alele alee) Alele (alele alee) Alele (alele alee) Tiffah dangote Alele (alele alee) Alele (alele alee) Alele (alele alee) Makame fumbwe Alele (alele alee) Alele (alele alee) Alele (alele alee)