Back to the previous page

Artist: Diamond Platnumz
Album:  Tandale
Song:   Sijaona
Typed by: AZ Lyrics

Ati niende kwa mganga
Ntoe doti za kanga
Ama nikufunge kamba
Ntadanganya mie eh
Nyumbani nifuge mamba
Mara mlinzi kwa panga
Kuchunga usije danga
Uwongo nisikwambie

Moyo wangu
Usiufanye njia oh
Ukapita
Oh, nitaumia
Shamba langu
Wakanivunia
Yote tisa
Ukanibeza na kukimbia
Tena unga ujengezi
Usitishe na sana
Ukaninyima malezi
Nikakosa hata raha
Nikaanza kuvunja nazi
Kutwa kuchwa kafara ah
Nililie kipenzi
Yakukunda
Karaha

Sijaona
Sijaona
Sijaona
Kama wewe
Juwa mimi
Sijaona (sijaona mimi)
Sijaona (sijaona bado)
Sijaona
Kama wewe

Refa kapiga kipenga
Ronaldo punguza chenga
Kuku tulia kwa tenga
Mbwembwe tupa kule
Na upunguze kujiremba
Wasije wakakupenda
Kuna warabu wapemba
Ukanisusa bure
Nisiwe napata tabu
Chemsha mawe
Kumaliza kuni eh
Kumbe kung'aa dhahabu
Kuichoma sio sabuni
Nishajipaga moyo
Wewe ndio mwisho wa reli
Basi jifunze choyo
Wasije nikejeli
Uwezo wangu wa toyo mie
Sijafikia meli
Acha wacheze loyal
Sie kwetu singeli

Moyo wangu
Usiufanye njia oh
Ukapita
Sana nitaumia
Shamba langu
Wakanivunia oh
Kesho wakaja kukuteka
Na matusi kunitupia
Juwa mwenzako mimi

Sijaona (bado mimi)
Sijaona (mwenzio mimi)
Sijaona (sijaona)
Kama wewe
Unajua mimi
Sijaona (unajua mimi)
Sijaona (sijaona mimi)
Sijaona
Kama wewe

Hasa mose kunambi
Alele (alele alee)
Alele (alele alee)
Alele (alele alee)
Agah mkubwa fella
Alele (alele alee)
Alele (alele alee)
Alele (alele alee)
Tiffah dangote
Alele (alele alee)
Alele (alele alee)
Alele (alele alee)
Makame fumbwe
Alele (alele alee)
Alele (alele alee)
Alele (alele alee)